Mshambuliaji wa klabu ya Hull City Dieumerci Mbokani hatocheza kwa kipindi cha wiki sita baada ya kupata jeraha la paja.
Hull pia imethibitisha kuwa jeraha la goti alilopata beki Harry Maguire wakati wa mechi dhidi ya Burnley sio baya sana zaidi ya ilivyodhaniwa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 huenda akapona tayari kwa safari ya kueleka Leicester City siku ya Jumamosi.

No comments:
Post a Comment